Skip to content
1 Nyakati 4:1-2

1 Nyakati 4:1-2

1
Wana wa Yuda walikuwa: Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.
2
Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Wasorathi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options