Skip to content
1 Nyakati 26:4-5

1 Nyakati 26:4-5

4
Obed-Edomu naye alikuwa na wana wafuatao: Shemaya mzaliwa wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, Sakari wa nne, Nethaneli wa tano,
5
Amieli wa sita, Isakari wa saba, na Peulethai wa nane. (Kwa kuwa Mungu alikuwa amembariki Obed-Edomu.)
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options