Skip to content
1 Nyakati 26:1-2

1 Nyakati 26:1-2

1
Hii ndiyo migawanyo ya mabawabu: Kutoka kwa wana wa Kora alikuwa: Meshelemia mwana wa Kore, mmoja wa wana wa Asafu.
2
Meshelemia alikuwa na wana wafuatao: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wa pili, Zebadia wa tatu, Yathnieli wa nne,
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options