Skip to content
1 Nyakati 24:26-27

1 Nyakati 24:26-27

26
Wana wa Merari: walikuwa Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia: alikuwa Beno.
27
Wana wa Merari: kutoka kwa Yaazia: ni Beno, Shohamu, Zakuri na Ibri.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options