Skip to content
1 Nyakati 23:1-2

1 Nyakati 23:1-2

1
Daudi alipokuwa mzee aliyeshiba siku, akamfanya Solomoni mwanawe kuwa mfalme juu ya Israeli.
2
Pia akawakusanya pamoja viongozi wote wa Israeli, pamoja na makuhani na Walawi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options