1 Nyakati 21:26-27
26
Kisha Daudi akamjengea Bwana madhabahu mahali hapo, na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Akamwita Bwana naye Bwana akajibu maombi yake kwa moto toka mbinguni juu ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa.
27
Kisha Bwana akanena na yule malaika, naye akarudisha upanga wake katika ala yake.
Settings